Nge-maji ni wadudu wa familia Nepidae katika oda ya chini Nepomorpha ya oda Hemiptera na nusungeli Pterygota (wenye mabawa). Wanafanana na nge kwa sababu ya miguu yao ya mbele yenye nguvu na mkia mrefu (bila tezi ya sumu) ambayo kwa kweli ni mrija wa kupumua. Wadudu hao huishi ndani ya maji. Spishi za nusufamilia Ranatrinae huitwa wadudu-sindano pia.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Nge-maji |
Nge-maji kahawianyekundu (Laccotrephes fuscus) |
Uainishaji wa kisayansi |
Himaya: |
Animalia (Wanyama)
|
Faila: |
Arthropoda (Wanyama wenye mwili wa pingili na miguu ya kuunga wasio na ugwe wa mgongo kama wadudu, nge, buibui)
|
Nusufaila: |
Hexapoda (Arithropodi wenye miguu sita)
|
(bila tabaka): |
Dicondylia (Wadudu walio na mandibula zenye condyle mbili)
|
Ngeli: |
Insecta (Wadudu)
|
Nusungeli: |
Pterygota (Wadudu wenye mabawa)
|
Oda ya juu: |
Paraneoptera
|
Oda: |
Hemiptera Haeckel, 1896 |
Nusuoda: |
Heteroptera
|
Oda ya chini: |
Nepomorpha
|
Familia ya juu: |
Nepoidea
|
Familia: |
Nepidae Latreille, 1802 |
|
Ngazi za chini |
Nusufamilia 2 na jenasi 14:
- Nepinae Latreille, 1802
- Borborophilus Stål, 1865
- Borborophyes Stål, 1870
- Curicta Stål, 1861, 1802
- Laccotrephes Stål, 1865
- Montonepa Lansbury, 1974
- Nepa Linnaeus, 1758
- Nepella Poisson, 1947
- Nepitella Štys & Jansson, 1988
- Paranepa Poisson, 1965
- Telmatotrephes Stål, 1854
- Ranatrinae
- Austronepa Menke & Stange, 1964
- Cercotmetus Amyot & Serville, 1843
- Goondnomdanepa Lansbury, 1974
- Ranatra Fabricius, 1790
|
Funga