From Wikipedia, the free encyclopedia
Nanjing (kwa Kichina: 南京) ni mji wa China. Ndio mji mkuu katika jimbo la Jiangsu.
Nanjing | |||
| |||
Nchi | China | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Jiangsu | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 7,588.900 | ||
Tovuti: www.nanjing.gov.cn |
Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2008, kuna wakazi wapatao milioni 7.6 wanaoishi katika mji huu.
Mji uko mita 15 juu ya usawa wa bahari.
Makala hii kuhusu maeneo ya China bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Nanjing kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.