Mzingo antaktiki
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mzingo antaktiki (kwa Kiingereza: Antarctic circle) ni mstari wa kudhaniwa kwenye uso wa Dunia kwa latitudo ya kusini ya 66° 33' 50 hivi[1]. Umbali wake na ncha ya kusini ni takriban kilomita 2,600, umbali kutoka ikweta km 15,996.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/7b/Antarctic_Circle.jpg/320px-Antarctic_Circle.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/3e/Antarctic_circle.svg/640px-Antarctic_circle.svg.png)
Kinyume chake ni mzingo aktiki upande wa kaskazini ya Dunia.