![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/43/Vitis_vinifera_001.jpg/640px-Vitis_vinifera_001.jpg&w=640&q=50)
Mzabibu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mizabibu ni spishi mbalimbali za jenasi Vitis katika familia Vitaceae; spishi kuu ni Vitis vinifera. Matunda yao huitwa zabibu ambazo hutumika kwa kutengeneza mvinyo. Mmea wa mzabibu ni mtambazi unaopanda juu ya mimea mingine au miwamba msituni, juu ya kuta katika bustani au kwa kamba shambani. Maua na matunda yamo kwa kicha.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Mzabibu (Vitis spp.) | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Mzabibu (Vitis vinifera) | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
|
Funga