![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ab/Florence_Nightingale_%2528H_Hering_NPG_x82368%2529.jpg/640px-Florence_Nightingale_%2528H_Hering_NPG_x82368%2529.jpg&w=640&q=50)
Muuguzi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Muuguzi ni mtaalamu wa afya aliyeandaliwa kupitia mfumo maalumu na thabiti wa kitaaluma, kisha kuthibitishwa na kuidhinishwa (na mamlaka iliyopo kisheria / chombo kinachosimamia taaluma hii) kutoa huduma za afya.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ab/Florence_Nightingale_%28H_Hering_NPG_x82368%29.jpg/640px-Florence_Nightingale_%28H_Hering_NPG_x82368%29.jpg)
Muuguzi anaweza kuwa wa jinsia yoyote. Sambamba na hospitalini, muuguzi anaweza kufanya kazi maeneo tofautitofauti: nyumbani, kwenye jamii, kwenye kampuni na mashirika mbalimbali, shuleni na vyuoni.
Kazi nyingi na muhimu hutekelezwa kwa weledi mkubwa na wauguzi.