![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/69/Banded_mongoose_%2528Mungos_mungo%2529.jpg/640px-Banded_mongoose_%2528Mungos_mungo%2529.jpg&w=640&q=50)
Nguchiro Miraba
From Wikipedia, the free encyclopedia
Nguchiro miraba (Mungos mungo)) ni mnyama mlanyama mdogo anayeishi hasa katika nchi za Afrika kusini kwa Sahara. Hula wadudu na wanyama wengine wadogo. Tofauti na nguchiro wengine wanaoishi mara nyingi maisha ya pekee, nguchiro miraba huishi kwa makundi ya wanyama 10 hadi 20.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Nguchiro miraba | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Nguchiro miraba | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
| ||||||||||||||||
![]() Msambazo wa nguchiro miraba | ||||||||||||||||
Funga
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/81/Mongoose_pile.jpg/640px-Mongoose_pile.jpg)