From Wikipedia, the free encyclopedia
Muğla ni jina la mji uliopo nchini Uturuki. Huu ni mji mkuu wa Jimbo la Muğla, ambayo imekuja hadi katika pwani ya Bahari ya Aegean upande wa kusini-magharibi mwa nchi. Mji upo m 660 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Muğla | |
Nchi | Uturuki |
---|---|
Mkoa | Aegean |
Jimbo | Muğla |
Idadi ya wakazi (2000) | |
- Wakazi kwa ujumla | 83,511 |
Tovuti: www.mugla.gov.tr |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.