Mtumiaji:Praxidicae/test
From Wikipedia, the free encyclopedia
Ngome ya Beaumaris (Castell Biwmares kwa Kiwelisi) iko katika mji wa Beaumaris, katika kisiwa cha Anglesey, Welisi.
Ujenzi wake ulianza mwaka 1295 chini ya mbunifu wa Kisavoya Jacques de Saint-Georges.
Imeandikwa katika orodha ya Urithi wa Dunia ya UNESCO mwaka 1986.