![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/13/Annona_cherimola%252C_tree.jpg/640px-Annona_cherimola%252C_tree.jpg&w=640&q=50)
Mtomoko
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mtomoko (Annona cherimola) ni mti mdogo wa familia Annonaceae. Matunda yake yanayolika huitwa matomoko. Spishi hii huitwa mtopetope pia, lakini tafadhali jina hili litengee kwa Annona squamosa. Annona reticulata huitwa mtomoko pia, lakini mti huu ni nadra katika Afrika ya Mashariki. Mtomoko una maua madogo njanokijani yenye petali nene. Matunda yana umbo wa donge au moyo na rangi ya majani hadi kahawa yakiwa yaliyoiva. Nyama ni nyeupe yenye ladha tamu. Mbegu nyeusi ni kubwa kiasi.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Mtomoko (Annona cherimola) | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Mtomoko | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
|
Funga