![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/74/Costanera-posadas.jpg/640px-Costanera-posadas.jpg&w=640&q=50)
Parana (mto)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Río Paraná (mto Parana) ni mto mrefu wa pili wa Amerika Kusini. Chanzo kipo nchini Brazil kwenye bwawa la Ilha Solteira inapokutana mito ya Paranaíba na Rio Grande.
- Tazama pia Paraná, majimbo za Brazil.
Ukweli wa haraka Mto wa Parana Río Paraná ...
Río Paraná | |
---|---|
Chanzo | Bwawa la Ilha Solteira (Brazil) inapokutana mito ya Paranaíba na Rio Grande |
Mdomo | Rio Plata |
Nchi | Brazil, Argentina, Paraguay |
Urefu | 4,000 km |
Kimo cha chanzo | 1,148 m |
Tawimito | Paranaiba, Rio Grande (Brazil), Iguazo, |
Mkondo | 16,800 m³/s |
Eneo la beseni | 2,582,672 km² |
Idadi ya watu wanaokalia beseni | milioni 59 |
Miji mikubwa kando lake | Ciudad del Este, Foz do Iguaçu (Brazil), Posadas, Santa Fe (Argentina), Parana |
Funga
Inapotoka katika eneo la Brazil unakuwa mpaka kati ya Brazil na Paraguay, baadaye kati ya Paraguay na Argentina.
Kilomita 500 km za mwisho unapita Argentina na kukutana na Río Uruguay halafu kuingia pamoja naye katika Rio de la Plata.