Mto Lukuga
Ni mto unaotoka katika Ziwa Tanganyika / From Wikipedia, the free encyclopedia
5.66667°S 26.91667°E / -5.66667; 26.91667
Mto Lukuga ni tawimto la mto Lualaba katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambalo linapokea maji kutoka Ziwa Tanganyika na kuyatiririsha kwa kilometa 320.
Unapoingia katika mto Lualaba umejaa uchafu.