Mtemi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mtemi ni cheo cha mtawala wa kijadi hasa upande wa bara wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye hapo zamani alitawala dola lenye mamlaka kamili katika nchi yenye watu hasa wa jamii moja. Mfano mmojawapo ni Mtemi Mirambo.[1]