![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/2/29/C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire_-_Zanzan.svg/langsw-640px-C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire_-_Zanzan.svg.png&w=640&q=50)
Mkoa wa Zanzan
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkoa wa Zanzan (kwa Kifaransa: Région du Zanzan) ni moja kati ya mikoa 19 ya huko nchini Cote d'Ivoire, kabla ya 2011. Iko katika kaskazini-mashariki ya nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 700.999. [1]
Ukweli wa haraka Nchi, Wilaya ...
Mkoa wa Zanzan |
|
![]() |
|
Majiranukta: 8°30′N 3°15′W | |
Nchi | ![]() |
---|---|
Wilaya | 7 |
Mji mkuu | Bondoukou |
Eneo | |
- Jumla | 38.131 km² |
Idadi ya wakazi (1998) | |
- Wakazi kwa ujumla | 700.999 |
GMT | (UTC+0) |
Funga
Kuna tarafa saba ambazo ni
Makao makuu yako Bondoukou.