From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkoa wa Thiès ni mkoa mmojawapo nchini Senegal. Makao makuu yako mjini Thiès. Mkoa una eneo la kilomita za mraba 6,670 linalokaliwa na wakazi 1,788,864 [1].
Mkoa una maeneo mawili ya pwani, moja upande wa kaskazini kwenye Grande Côte (pwani kubwa) penye soko la mboga la Niayes, na moja upande wa kusini kwenye Petite Côte (pwani ndogo) ambayo ni moja ya maeneo ya kitalii ya Senegal.
Mkoa huu unazunguka Rasi ya Cap-Vert yenye mji mkuu Dakar, hivyo reli na barabara kuu za nchi zinapita mkoani.
Mkoa wa Thiès umegawanywa katika wilaya 3 (departements):
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.