![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/e/e9/C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire_-_Savanes.svg/langsw-640px-C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire_-_Savanes.svg.png&w=640&q=50)
Mkoa wa Savanes
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkoa wa Savanes (kwa Kifaransa: Région des Savanes) ni moja kati ya mikoa 19 ya huko nchini Cote d'Ivoire, kabla ya 2011.
Ukweli wa haraka Nchi, Wilaya ...
Mkoa wa Savanes |
|
![]() |
|
Majiranukta: 9°30′N 5°30′W | |
Nchi | ![]() |
---|---|
Wilaya | 7 |
Mji mkuu | Korhogo |
Eneo | |
- Jumla | 40.430 km² |
Idadi ya wakazi (1998) | |
- Wakazi kwa ujumla | 929.673 |
GMT | (UTC+0) |
Funga
Iko katika Kaskazini ya nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 929.673. [1]
Kuna tarafa saba ambazo ni
Makao makuu yako Korhogo.