![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/37/Cercle_of_M%25C3%25A9naka.png/640px-Cercle_of_M%25C3%25A9naka.png&w=640&q=50)
Mkoa wa Menaka
From Wikipedia, the free encyclopedia
Menaka (kwa Kibambara Menaka Dineja) ni mkoa wa Mali ulioundwa kisheria mwaka 2012 kutoka sehemu ya mashariki ya Mkoa wa Gao. [1] [2]
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/37/Cercle_of_M%C3%A9naka.png/640px-Cercle_of_M%C3%A9naka.png)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/sw/thumb/4/49/Gao_Kidal_ramani.jpg/640px-Gao_Kidal_ramani.jpg)
Uuanzishwaji halisi wa mkoa huo ulifanyika tarehe 19 Januari 2016 kwa kumteua Daouda Maïga kama gavana wa mkoa.[3] [4] Wajumbe wa baraza la mpito wa mkoa waliteuliwa tarehe 14 Oktoba 2016. [5]
Mkoa umegawanyika katika wilaya (cercles) nne: Anderamboukane, Inekar, Tidermene, na Menaka, eneo la mji mkuu, pia hujulikana Menaka. [3]