![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5b/C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire_-_Lacs.svg/langsw-640px-C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire_-_Lacs.svg.png&w=640&q=50)
Mkoa wa Lacs
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkoa wa Lacs (kwa Kifaransa: Région des Lacs) ni moja kati ya mikoa 19 ya huko nchini Cote d'Ivoire, kabla ya 2011. Iko katika kitovu cha nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 476.173. [1]
Ukweli wa haraka Nchi, Wilaya ...
Mkoa wa Lacs |
|
![]() |
|
Majiranukta: 6°50′N 5°10′W | |
Nchi | ![]() |
---|---|
Wilaya | 5 |
Mji mkuu | Yamoussoukro |
Eneo | |
- Jumla | 8.663 km² |
Idadi ya wakazi (1998) | |
- Wakazi kwa ujumla | 476.173 |
GMT | (UTC+0) |
Funga
Kuna tarafa tano ambazo ni
Makao makuu yako Yamoussoukro.