![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c5/Mali_-_Kidal.svg/langsw-640px-Mali_-_Kidal.svg.png&w=640&q=50)
Mkoa wa Kidal
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkoa wa Kidal (kwa Kibambara: Kidal Dineja) ni eneo la utawala nchini Mali. Mkoa huo una eneo la kilomita za mraba 151,450. Wakati wa sensa ya mwaka 2009 walikuwepo wakazi 67,638 [1].
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c5/Mali_-_Kidal.svg/640px-Mali_-_Kidal.svg.png)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/sw/thumb/4/49/Gao_Kidal_ramani.jpg/640px-Gao_Kidal_ramani.jpg)
Eneo hili hapo awali lilikuwa sehemu ya Mkoa wa Gao, lakini lilitengwa kama mkoa wa pekee mnamo 1991. Mkoa uko kwenye kaskazini ya Mali. Makao makuu ya utawala wa mkoa yako Kidal mjini.