![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/3f/C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire_-_Dengu%25C3%25A9l%25C3%25A9.svg/langsw-640px-C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire_-_Dengu%25C3%25A9l%25C3%25A9.svg.png&w=640&q=50)
Mkoa wa Denguélé
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkoa wa Denguélé (kwa Kifaransa: Région du Denguélé) ni moja kati ya mikoa 19 ya huko nchini Cote d'Ivoire, kabla ya 2011. Iko katika kaskazini-magharibi ya nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 222.446. [1]
Ukweli wa haraka Nchi, Wilaya ...
Mkoa wa Denguélé |
|
![]() |
|
Majiranukta: 9°30′N 7°25′W | |
Nchi | ![]() |
---|---|
Wilaya | 4 |
Mji mkuu | Odienné |
Eneo | |
- Jumla | 21.000 km² |
Idadi ya wakazi (1998) | |
- Wakazi kwa ujumla | 222.446 |
GMT | (UTC+0) |
Funga
Kuna tarafa nne ambazo ni
Makao makuu yako Odienné.