![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/f5/C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire_-_Agn%25C3%25A9by.svg/langsw-640px-C%25C3%25B4te_d%2527Ivoire_-_Agn%25C3%25A9by.svg.png&w=640&q=50)
Mkoa wa Agnéby
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkoa wa Agnéby (kwa Kifaransa: Région de l'Agnéby) ni moja kati ya mikoa 19 ya huko nchini Cote d'Ivoire, kabla ya 2011. Iko katika kusini-mashariki ya nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 525.211. [2] Kati ya makabila ya mkoa ni Waattie na Waabe.
Ukweli wa haraka Nchi, Wilaya ...
Mkoa wa Agnéby |
|
![]() |
|
Majiranukta: 05°56′N 04°13′W | |
Nchi | ![]() |
---|---|
Wilaya | 4 |
Mji mkuu | Agboville |
Eneo | |
- Jumla | 9,093 km² |
Idadi ya wakazi (1998) | |
- Wakazi kwa ujumla | 525,211 |
GMT | (UTC+0) |
[1] |
Funga
Kuna tarafa nne ambazo ni
Makao makuu yako Agboville.