![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1c/Passiflora_edulis_f._edulis_Sims.jpg/640px-Passiflora_edulis_f._edulis_Sims.jpg&w=640&q=50)
Mkarakara
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mikarakara au mipesheni ni mimea mitambazi ya jenasi Passiflora katika familia Passifloraceae. Matunda yake huitwa makarakara au mapesheni. Kuna takribani spishi 550.
![]() | Makala haina vyanzo vya kutosha
Makala (au sehemu ifuatayo ya makala) inatoa habari bila kuonyesha vyanzo au uthibitisho wowote.
|
Mkarakara (Passiflora spp.) | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Mkarakara-jeusi | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Spishi >500; 4 zinakuzwa katika Afrika ya Mashariki:
|
Asili ya mimea hiyo ni Amerika, ya Kati na ya Kusini hasa. Siku hizi spishi kadhaa hukuzwa sana katika ukanda wa tropiki, na katika Afrika ya Mashariki mkarakara-jeusi na mkarakara-tamu na mkarakara-njano inajulikana sana tangu mwanzo mwa karne ya 21.