Muwa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Miwa (Saccharum spp.) ni aina za nyasi zinazotoa sukari.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Muwa (Saccharum spp.) | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Miwa inayotoa maua | ||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
|
Funga
Asili yake ilikuwa Asia ya Mashariki na kutoka huko zimesambazwa katika nchi za tropiki zenye mazingira yanayofaa kwake.
Kilimo cha mmea huo ni chanzo cha sehemu kubwa ya sukari kwa ajili ya matumizi ya binadamu na pia kwa sehemu kubwa ya ethanoli inayotengenzwa kwa matumizi ya biofueli.
Kwa ajili yake katika karne za nyuma ilistawi biashara ya watumwa hasa kutoka Afrika kwenda Amerika.