Mitishamba
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mitishamba ni mimea inayothaminiwa kama dawa[1]. Katika matumizi ya dawa, inawezekana kutumia sehemu yoyote ya mmea, ikiwa ni pamoja na majani, mizizi, maua, mbegu, gundi, maganda ya mizizi, maganda ya ndani, nafaka na mara nyingine matunda au sehemu nyingine za mmea.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fc/Herbs.jpg/220px-Herbs.jpg)