![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/6a/Miroslav_klose2.jpg/640px-Miroslav_klose2.jpg&w=640&q=50)
Miroslav Klose
From Wikipedia, the free encyclopedia
Miroslav Klose (jina kamili: Miroslaw Marian Klose; amezaliwa Opole, Poland, 9 Juni 1978) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka nchini Ujerumani, mshambuliaji katika Timu ya Taifa ya Ujerumani na S.S. Lazio katika Serie A (Ligi kuu ya Italia).
Ukweli wa haraka Maelezo binafsi, Maelezo ya klabu ...
Miroslav Klose | ||
![]() | ||
Maelezo binafsi | ||
---|---|---|
Jina kamili | Miroslav Klose | |
Tarehe ya kuzaliwa | 9 Juni 1978 (1978-06-09) (umri 46) | |
Mahala pa kuzaliwa | Opole, Poland | |
Urefu | mita 1.82 | |
Nafasi anayochezea | Mshambuliaji | |
Maelezo ya klabu | ||
Klabu ya sasa | S.S. Lazio | |
Namba | 25 | |
Klabu za ukubwani | ||
Miaka | Klabu | |
2007- | S.S. Lazio | |
Timu ya taifa | ||
2001 | Ujerumani | |
* Magoli alioshinda |
Funga