![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c5/Mindanao_in_Philippines.svg/langsw-640px-Mindanao_in_Philippines.svg.png&w=640&q=50)
Mindanao
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mindanao ni kisiwa kikubwa cha pili katika Ufilipino ambayo ni nchi ya visiwa. Eneo la visiwa ni km² 97,530. Kuna wakazi milioni 22. Mji mkubwa ni Davao yenye wakazi milioni 1.5.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c5/Mindanao_in_Philippines.svg/640px-Mindanao_in_Philippines.svg.png)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/9a/Philippinen_mindanao_boot_ph06p73.jpg/640px-Philippinen_mindanao_boot_ph06p73.jpg)
Jina hili latumiwa pia kutaja kundi la visiwa vya Ufilipino linayojumlisha kisiwa kikubwa cha Mindanao pamoja na funguvisiwa la Sulu.