![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/42/BIMG_1530.jpg/640px-BIMG_1530.jpg&w=640&q=50)
Milima ya Taita
From Wikipedia, the free encyclopedia
Milima ya Taita (kwa Kiingereza: Taita Hills, pia Teita Hills) iko kusini mashariki mwa Kenya, katika kaunti ya Taita-Taveta.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/42/BIMG_1530.jpg/640px-BIMG_1530.jpg)
Ni sehemu ya milima ya Tao la Mashariki ambayo ina miaka zaidi ya milioni 100[1] .
Milima ni hasa mitatu: Dabida, Sagalla na Kasigau. Mkubwa zaidi ni Dawida ambao unafikia metre 2 228 (ft 7 310) juu ya usawa wa bahari katika kilele cha Vuria. Vingine ni: Iyale, Wesu, and Susu.