![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/58/Baobab_tree.jpg/640px-Baobab_tree.jpg&w=640&q=50)
Mbuyu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kwa maana tofauti ya jina hili angalia hapa Mbuyu (maana)
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Mbuyu (Adansonia digitata) | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() | ||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
|
Funga
Mbuyu (Adansonia digitata) ni mti mkubwa wa ukanda wa tropiki. Matunda yake yanaitwa mabuyu, gamba la tunda linaitwa kibuyu na ubuyu ni nyama ya tunda.