Mbawabuluu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mbawabuluu ni vipepeo wadogo kiasi wa nusufamilia Polyommatinae katika familia Lycaenidae ya oda Lepidoptera. Madume wa takriban spishi zote wana mabawa ambayo upande wa juu ni buluu au urujuani kabisa au kwa sehemu. Mabawa ya majike ni kahawia au meusi na meupe. Wanatokea katika mabara yote isipokuwa Antakitiki.
Maelezo zaidi Mbawa-buluu, Uainishaji wa kisayansi ...
Mbawa-buluu | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Dume la Zizeeria knysna | ||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
| ||||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||||
Makabila 4 :
| ||||||||||||||||||
Funga