![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ad/Migraine.jpg/640px-Migraine.jpg&w=640&q=50)
Maumivu ya kichwa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Maumivu ya kichwa (kwa Kiingereza "headache") ni maumivu ya aina 220[1] tofauti yanayotokea sehemu za kichwa bila hicho kugongwa kwa nje.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ad/Migraine.jpg/640px-Migraine.jpg)
Sababu za ndani za maumivu hayo ni kama vile:
- homa
- kusoma au kutazama kompyuta au televisheni kwa muda mrefu
- uchovu au usingizi
- kifafa au matatizo mengine ya neva
Maumivi mengi yanapozwa na dawa, k.mf. aspirini.