Mamalia ni wanyama ambao wanawanyonyesha watoto wao maziwa kwa kutumia viwele vyao.

Maelezo zaidi Mammalia, Uainishaji wa kisayansi ...
Mammalia
Thumb
Kangaruu ni mamalia wa Australia
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia
Faila: Chordata
Ngeli: Mammalia
Ngazi za chini
  • Nusungeli †Allotheria
  • Nusungeli Prototheria
  • Nusungeli Theria
    • Ngeli ya chini †Trituberculata
    • Ngeli ya chini Metatheria
    • Ngeli ya chini Eutheria
Funga

Wana damu moto na kupumua kwa mapafu.

Kuna takriban spishi 5,400 za mamalia. Spishi 5 kati ya hizo wanataga mayai, lakini wengine wote wanazaa watoto hai.

Ukubwa unatofautiana sana, kuanzia spishi ndogo aina ya popo mwenye urefu wa sentimita 4 pekee hadi spishi kubwa nyangumi buluu mwenye urefu wa mita 33.

Uainishaji

Mamalia ni ngeli ya faila Kodata.

Ngeli yao hugawiwa katika nusungeli mbili:

  • Prototheria ni mamalia wanaotaga mayai au kubeba watoto wao ndani ya mfuko wa mwilini kwa muda fulani baada ya kuzaa
  • Theria ni mamalia wa kawaida na spishi nyingi zimo humo.

Picha

Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mamalia kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.