Mamalia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mamalia ni wanyama ambao wanawanyonyesha watoto wao maziwa kwa kutumia viwele vyao.
Maelezo zaidi Mammalia, Uainishaji wa kisayansi ...
Mammalia | ||||||
---|---|---|---|---|---|---|
Kangaruu ni mamalia wa Australia | ||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||
| ||||||
Ngazi za chini | ||||||
| ||||||
Funga
Wana damu moto na kupumua kwa mapafu.
Kuna takriban spishi 5,400 za mamalia. Spishi 5 kati ya hizo wanataga mayai, lakini wengine wote wanazaa watoto hai.
Ukubwa unatofautiana sana, kuanzia spishi ndogo aina ya popo mwenye urefu wa sentimita 4 pekee hadi spishi kubwa nyangumi buluu mwenye urefu wa mita 33.