![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d1/Flag_of_Malawi.svg/langsw-640px-Flag_of_Malawi.svg.png&w=640&q=50)
Malawi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Makala hii inahusu nchi ya Malawi. Kwa maana mbalimbali za neno taz. Malawi (maana)
| |||
Lugha rasmi | Chichewa, Kiingereza | ||
Mji Mkuu | Lilongwe | ||
Serikali | Jamhuri | ||
Rais | Lazarus Chakwera | ||
Eneo | km² 118.484 | ||
Wakazi | 18.143.217 (Julai 2018) | ||
Wakazi kwa km² | 153.1 | ||
JPT/Mkazi | 157 US-$ (2004) | ||
Uhuru | kutoka Uingereza tarehe 06.07.1964 | ||
Pesa | Kwacha ya Malawi | ||
Wimbo wa Taifa | Mlungu salitsani Malawi | ||
![]() | |||
![]() |
Malawi (wakati wa ukoloni iliitwa Unyasa au Nyasaland) ni nchi ya bara la Afrika iliyopo kusini-mashariki, ikipakana na Tanzania, Msumbiji na Zambia.
Jina la nchi limeteuliwa kutokana na ufalme wa kihistoria wa Maravi.