![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ab/Mainecoast.jpg/640px-Mainecoast.jpg&w=640&q=50)
Maine
From Wikipedia, the free encyclopedia
Maine ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Iko katika kaskazini-mashariki ya nchi ikipakana na New Hampshire (Hampshire Mpya), New Brunswick na Quebec katika Kanada. Upande wa mashariki kuna pwani la Atlantiki.
Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...
Maine | |||
| |||
Nchi | ![]() |
||
---|---|---|---|
Mji mkuu | Augusta | ||
Eneo | |||
- Jumla | 91,646 km² | ||
- Kavu | 79,931 km² | ||
- Maji | 11,715 km² | ||
Tovuti: http://www.maine.gov/ |
Funga
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ab/Mainecoast.jpg/640px-Mainecoast.jpg)
Jimbo lina wakazi wapatao 1,316,456 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 86,542.
Mji mkuu ni Augusta. Miji miwili mikubwa ya jimbo ni Portland na Lewiston.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/9a/National-atlas-maine.png/640px-National-atlas-maine.png)