![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/55/Great_Mosque_of_Gede.jpg/640px-Great_Mosque_of_Gede.jpg&w=640&q=50)
Gofu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kuhusu mchezo angalia Gofu (michezo)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/55/Great_Mosque_of_Gede.jpg/640px-Great_Mosque_of_Gede.jpg)
Gofu (pia ghofu; kutoka Kiarabu قف quff) ni namna ya kumtaja mtu au kitu kisicho katika hali zuri, kama mtu aliyekonda mno.[1]
Mara nyingi magofu yanataja sehemu ambako mabaki ya majengo ya zamani yanaonekana, kama vile magofu ya Gedi, magofu ya Kilwa Kisiwani.