Mafuta
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mafuta ni jina la kiowevu kizito chochote kisichochanganyikana na maji lakini ni mumunyifu katika vimumunyisho vya kikaboni[1].
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fc/Triglyceride-GeneralStructure.png/320px-Triglyceride-GeneralStructure.png)
Mafuta yote huwa na asili katika mata ogania, kama vile ya wanyama na mimea.