León, Guanajuato

From Wikipedia, the free encyclopedia

León, Guanajuato

León (jina rasmi: León de los Aldamas) ni mji mkubwa katika jimbo la Guanajuato. NNi pia mji mkubwa wa tano wa Mexiko. Ni mji upande wa kati ya nchi. Idadi ya wakazi ni 1,137,465, pamoja na mitaa ya jirani rundiko la mji lina wakazi 1,634,917. Eneo lake ni 1,219.67 km². Mji upo m 1,815 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Sehemu za Mji wa León, Guanajuato


Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
León
Nchi Mexiko
Jimbo Guerrero
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 166,796
Tovuti:  / León, Guerrero
Funga

Mji ulianzishwa mwaka 1576.




Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu León, Guanajuato kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.