![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b9/Llama_lying_down.jpg/640px-Llama_lying_down.jpg&w=640&q=50)
Lama (mnyama)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Lama | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Lama anayelala (Lama glama) | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
| ||||||||||||||||
![]() Usambazaji wa lama na vikunya | ||||||||||||||||
Funga
Lama ni mnyama wa kufugwa wa spishi Lama glama katika familia Camelidae, anayeishi Amerika Kusini. Lama ametumiwa kwa upana na watu wa milima ya Andes tangu kabla ya historia, kwa nyama yake na kubeba mizigo.