Mfiwi mafuta
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mfiwi mafuta au mnjahe (Lablab purpureus) ni jina la mmea katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa fiwi mafuta au njahe (kutoka na Kikikuyu: njahĩ). Mfiwi mafuta ni mmea wa Afrika unaokuzwa mahali popote katika ukande wa tropiki siku hizi.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Mfiwi mafuta (Lablab purpureus) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mfiwi mafuta | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Funga