Koreshi

jina la mwanaume From Wikipedia, the free encyclopedia

Koreshi ni jina la kiume lenye asili ya Kiajemi linakopatikana kwa umbo la "کوروش" (Kurush au Kurosh). Umbo "Koreshi" lililo kawaida katika Kiswahili linatokana na כורש (koresh) umbo la Kiebrania la jina hilo katika taarifa za Biblia.

Kuna maelezo tofauti kuhusu maana asilia ya jina. Inaweza kumaanisha ama "mtawala mshindi mwenye huruma" au "kijana, mtoto".

Linafahamika hasa kutokana na wafalme wa Uajemi ya Kale hasa Koreshi I na Koreshi Mkuu walioanzisha na kupanua milki ya kwanza ya Uajemi.

Hadi leo ni jina la wanaume nchini Uajemi na kwingine kwa maumbo kama:

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.