![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1b/Flag_of_Croatia.svg/langsw-640px-Flag_of_Croatia.svg.png&w=640&q=50)
Kroatia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kroatia (pia Korasia, kwa Kikroatia: Republika Hrvatska) ni nchi ya Ulaya ya kusini-mashariki. Imepakana na Slovenia, Hungaria, Serbia, Bosnia na Herzegovina na Montenegro.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: -- Kihistoria: Antemurale Christianitatis (Kilatini) "Ngome ya Ukristo" | |||||
Wimbo wa taifa: "Lijepa naša domovino" "Nchi yetu nzuri" | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Zagreb 45°48′ N 16°0′ E | ||||
Mji mkubwa nchini | Zagreb | ||||
Lugha rasmi | Kikroatia1 | ||||
Serikali Rais Waziri Mkuu |
Jamhuri Zoran Milanović Andrej Plenković | ||||
Uhuru Ilianzishwa Utemi wa Kroatia Ufalme wa Kroatia Kutoka Yugoslavia |
Karne ya 7 (mwanzoni) 3 Machi 852 925 25 Juni 1991 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
56,542 km² (ya 126) 0.01 | ||||
Idadi ya watu - Julai 2005 kadirio - 2011 sensa - Msongamano wa watu |
4,551,000 (ya 128) 4,284,889 75.8/km² (ya 126) | ||||
Fedha | Kuna (kn) (HRK ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
CET (UTC+1) CEST (UTC+2) | ||||
Intaneti TLD | .hr | ||||
Kodi ya simu | +385
- | ||||
1pia Kitalia katika Istria. |
Funga
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/f/fc/Hr-map.png)
Ng'ambo ya kidaka cha Adria iko Italia.
Mji mkuu ni Zagreb.
Kroatia ilikuwa kati ya majimbo ya Yugoslavia na ilipata uhuru wake mwaka 1991.
Imejiunga na Umoja wa Ulaya tarehe 1 Julai 2013.