Kisukuku (kwa Kiingereza: fossil) ni mabaki ya kiumbehai (mmea au mnyama) kutoka zamani za miaka 10,000 au zaidi. Visukuku vingi vina umri wa miaka milioni kadhaa.
Kiunzi cha mifupa cha Ichthyosauria (sauri ya bahari) kilichopatikana Ujerumani kusini aliyeishi takriban miaka milioni 200 - 100 iliyopita
Trilobiti walikuwa viumbe vya miaka milioni 444 iliyopita.
Mti uliokuwa jiwe
Archeopteryx ni ndege wa kwanza anayejulikana kutokana na visukuku akifanana bado na reptilia lakini anaonyesha manyoa tayari
Mabaki yanapatikana kwa umbo tofautitofauti, hasa kama:
visukuku vya kijiwe vinavyoweza kutupa picha ya viumbehai vya nyakati zilizopita, na