![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b9/Slavic_languages-BLANK.png/640px-Slavic_languages-BLANK.png&w=640&q=50)
Lugha za Kislavoni
From Wikipedia, the free encyclopedia
Lugha za Kislavoni ni kikundi cha lugha chenye asili ya Ulaya ya Mashariki. Jumla kuna wasemaji milioni 300 wanaosema lugha ya Kislavoni kama lugha ya mama pamoja na wengine 100 wanotumia lugha hizi kama lugha ya pili. Lugha hizi ni sehemu za familia ya lugha za Kihindi-Kiulaya.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b9/Slavic_languages-BLANK.png/640px-Slavic_languages-BLANK.png)
Lugha za Kislavoni zenye wasemaji wengi ni Kirusi (milioni 140 wasemji kama lugha ya kwanza, wengine milioni 110 kama lugha ya pili), halafu Kiukraine na Kipoland (kila moja lenye wasemaji milioni 50).
Lugha hizi zapangwa kwa vikundi vitatu:
- Kislavoni cha Magharibi pamoja na