![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ae/Anaiwan_language.png/640px-Anaiwan_language.png&w=640&q=50)
Kinganyaywana
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kinganyaywana ilikuwa lugha ya Kipama-Nyungan nchini Australia iliyozungumzwa na Wanganyaywana katika jimbo la New South Wales. Hakuna wasemaji ambao wamebaki kuongea lugha hii, yaani lugha ya Kinganyaywana ilitoweka. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kinganyaywana kiko katika kundi la Kidyangadi.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ae/Anaiwan_language.png/640px-Anaiwan_language.png)