lugha ya asili ya Australia iliyotoweka From Wikipedia, the free encyclopedia
Kiganggalida kilikuwa lugha ya Kipama-Nyungan nchini Australia iliyozungumzwa na Waganggalida katika jimbo la Queensland. Hakuna wasemaji ambao wamebaki kuongea Kiganggalida, yaani lugha imetoweka kabisa. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiganggalida kiko katika kundi la Kitangiki.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kiganggalida kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.