![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/72/Kajiado_County_in_Kenya.svg/langsw-640px-Kajiado_County_in_Kenya.svg.png&w=640&q=50)
Kaunti ya Kajiado
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kaunti ya Kajiado ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/72/Kajiado_County_in_Kenya.svg/640px-Kajiado_County_in_Kenya.svg.png)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d5/A104_Kenya_at_Kajiado.jpg/640px-A104_Kenya_at_Kajiado.jpg)
Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 1,117,840 katika eneo la km2 21,871.1, msongamano ukiwa hivyo wa watu 51 kwa kilometa mraba[1]. Makao makuu yako Kajiado.