Qatar
From Wikipedia, the free encyclopedia
Qatar (kwa Kiarabu: قطر ) ni emirati ndogo wa Uarabuni kwenye rasi ya Qatar ambayo ni sehemu ya rasi kubwa ya Uarabuni.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: | |||||
Wimbo wa taifa: As Salam al Amiri | |||||
Mji mkuu | Doha 25°18′ N 51°31′ E | ||||
Mji mkubwa nchini | Doha | ||||
Lugha rasmi | Kiarabu, Kiingereza | ||||
Serikali Mtemi Waziri mkuu |
Ufalme Tamim bin Hamad Al Thani (تميم بن حمد بن خليفة آل ثاني) Khalid bin Khalifa bin Abdul Aziz Al Thani (خالد بن خليفة بن عبد العزيز آل الثاني) | ||||
Uhuru1 |
3 Septemba 1971 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
11,581 km² (ya 158) „kidogo sana“ | ||||
Idadi ya watu - Agosti 2020 kadirio - 2010 sensa - Msongamano wa watu |
2,795,484 (ya 142) 1,699,435 176/km² (ya 76) | ||||
Fedha | Riyal (QAR ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC+3) (UTC+3) | ||||
Intaneti TLD | .qa | ||||
Kodi ya simu | +974 | ||||
1 Qatar ilitawaliwa na familia ya Al Thani tangu karne ya 19 lakini ilikuwa chini ya Uingereza katika karne ya 20 |
Funga
Imepakana na Saudia upande wa kusini. Mipaka mingine ni ya Ghuba ya Uajemi. Kisiwa cha Bahrain kiko karibu.