Kasri
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kasri ni makazi makuu, ambayo mara nyingi hutumika kama makazi ya kifalme au nyumba ya mkuu wa nchi au mtu mwenye cheo kikubwa, kama vile askofu au askofu mkuu. [1]
Kasri hutofautishwa na ngome kwa kuwa ngome huwa na kuta za ulinzi.