Karne ya 14
karne / From Wikipedia, the free encyclopedia
Karne ya 14 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 1301 hadi 1400. Kikamilifu kilianza tar. 1 Januari 1301 na kuishia 31 Desemba 1400. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 12 |
Karne ya 13 |
Karne ya 14
| Karne ya 15
| Karne ya 16
| ►
Miaka ya 1300 |
Miaka ya 1310 |
Miaka ya 1320 |
Miaka ya 1330 |
Miaka ya 1340 |
Miaka ya 1350 |
Miaka ya 1360 |
Miaka ya 1370 |
Miaka ya 1380 |
Miaka ya 1390
Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya kibinadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu - hali halisi maendeleo na mabadiiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.
Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii.