![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/08/Josemaria_Escriva.jpg/640px-Josemaria_Escriva.jpg&w=640&q=50)
Josemaría Escrivá
From Wikipedia, the free encyclopedia
Josemaria Escriva (Barbastro, Hispania, 9 Januari 1902 – Roma, Italia, 26 Juni 1975) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki na mwanzilishi wa jumuia ambayo baada ya kifo chake ikawa jimbo lisilo na eneo la Opus Dei na shirika la kipadri la Msalaba Mtakatifu[1].
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/08/Josemaria_Escriva.jpg/640px-Josemaria_Escriva.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/12/Coat_of_arms_of_Josemar%C3%ADa_Escriv%C3%A1.svg/640px-Coat_of_arms_of_Josemar%C3%ADa_Escriv%C3%A1.svg.png)
Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri tarehe 17 Mei 1992 na mtakatifu tarehe 6 Oktoba 2002.