João Pessoa

From Wikipedia, the free encyclopedia

João Pessoa

João Pessoa ni jina la mji mkuu wa jimbo la Paraíba katika Brazil. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2008, mji una wakazi wapatao milioni 1.1 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 40 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Ukweli wa haraka
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Funga
Makala hii kuhusu maeneo ya Brazil bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu João Pessoa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Maeneo mbalimbali ya mji,João Pessoa
Ukweli wa haraka Nchi, Kanda ...
João Pessoa
Nchi Brazil
Kanda Northeast
Jimbo Paraíba
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 702,235
Tovuti:  www.joaopessoa.pb.gov.br
Funga

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.