Ibilisi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Ibilisi (kutoka Kigiriki Διάβολος, diabolos kupitia Kiarabu) ni jina linalomaanisha "Mpinzani"; "Mwekakiwazo" na linatumika kwa Shetani.
Neno hili hutumika mara 35 katika Agano Jipya, sehemu muhimu zaidi ya Biblia ya Kikristo.